Tukiwa tunaaelekeke kuumaliza mwaka 2016, tuna fanya count down ya watu wali tufuraisha na kutusikitisha katika mitindo mwaka huu, na leo tupo na wanaume walio vaa vibaya mwaka huu ikiwa tulisha fanya ya walio vaa vizuri bonye za hapa kuwajua
Leo tunaanza na wale walio zingua
Le Mutuz na Mkubwa Fella wana julikana kwa kazi zao, mmoja ni meneja na mwingine ni blogger mkubwa tu Tanzania Mwaka huu wameonekana kuwa ni watu walio vaa vibaya zaidi, kwanza wana vaa kuto kilingana na umri wao na pili ni kuto kujua kujipangilia
WCB wame kuwa wa ajabu sana mwaka huu sijui nini tatizo, nguo hazieleweki, mpangilio mbaya na usisahau kuhusu style za nywele
Fid Q
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…