Kwenye wengi pana mengi hasa katika hii mikusanyiko ya watu maarufu kila mtu ana taka kuvunja record kwa namna yake kuna wale ambao wana taka kupendeza na kuna wale wao huwa wana endaga kushoto kabisa na kutaka kuongelewa negatively zaidi hawa ndio walio tuacha mdomo wazi na mitoko yao katika tuzo za Grammy zilizo fanyika usiku wa kuamkia leo
Candy Crush alivaa hii balloon skirt na crop top pink, think amechukulia jina lake na ile game ya candy clush too serious
Rita Ora is serving faces, make up on point lakini the dress eysh no Rita no
Andra Day is taking us back to welcome to America
Jacqueline Van Bierk hakuwa na uhakika kama Dj ata play her songs so akaamua kubeba CD’s zake lol
Rose hayupo kwenye hii sayari yani yupo zake mars huko au mwenzetu kasha fika 2020
Taraji could have done better
Charli XCX we are not fans of the dress juu ipo vizuri lakini magotini kushuka chini nah
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/worst-dressed-at-the-59th-grammy-awards/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 78949 additional Information to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/worst-dressed-at-the-59th-grammy-awards/ […]