Baada ya kuona best & worse dressesd Tanzania men 2016 sasa tuna rudi kwa upande wa Kina dada, na tunaanza na wale ambao mwaka huu wame haribu haukua mzuri kwao
1) Shilole – Shilole tunajua ana weza kufanya vizuri katika mavazi ila tu kuna saa ana makusudi yake, kuna style zake huwa hatuelewi ana zitoaga wapi kwa sababu hio ame shika namba moja
2)Snura – Snura ana sura na ana mwili lakini haja jijulia tu avae ni nini na sehemu gani avae vazi lake tuna tamani kuona ame badilika mwakani kama celeb una takiwa ku wow more than ku disappoint
3)Sauda Mwilima – huyu dada ni m Tangazaji na miaka yote yupo hivi hivi tu, miaka inaenda na mambo yana badilika Sauda tafadhali jaribu ku keep up na fashion na kitu kizuri kuhusu wewe huzeeki
4) Chemical – tunatamani tu abadirike tuone side nyingine ya kwake huu mwaka hajawa kama celeb amekuwa tu kama sisi wacheza singeli wengine
5)Diva – Tuna tamani lile neno lake la levels angekuwa ana liweka katika mavazi pia, maana huu mwaka ame disappoint sana upande huu
6)Diana Luqumay – miss Tanzania 2016, Diana ana kila kitu mwili, sura, urefu, confidence hatujui tatizo ni nini linapo kuja swala la kuvaa
7) Ruckybeby – mwanamuziki na ana onekana kupenda mitindo tatizo tu hajajua kuji style 2017 do better mamy
8) mrs mziwanda – anaitwa Nawal ni mke wa Nuhu Mziwanda, huyu msichana ana hitaji tu stylist basi, kuna muda huwa tunatamani tunge kuwa na mwili na sura yake maana tusinge kamatika huko mitaani na mitindo yetu
9) Witness – Witness utatafuta picha yake aliyo vaa vizuri huu mwaka wote na husi ipate
10) Aunty Ezekiel – japo ana jaribu ku push through aunty bado hajajipatia
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…