Zari alitembelea Tanzania weekend iliyopita ambapo alikuwa ana fanya appearance kwenye party huko mjini Dar Es Salaam, well tuliona alienda kupokelewa airport na kilicho tuvuta kwake ni huu muonekano wake yaani mavazi aliyoyavaa.
Sote tunakubaliana kwamba ukiwa safarini unatakiwa kuvaa mavazi ambayo yapo comfortable ikiwa safari ni ndefu sana ni vyema kuvaa mavazi yasiyokubana pia.
Kwa Zari tumeona ni tofauti kwake alichagua kufa na fashion over comfort, maana alivaa gauni ambayo ni tight, akavaa fluffy coat ( na hii weather ya Dar hatujajua kama alifikiria hili), akavaa stocking’s na knee high boots (mmmh), alipendeza sana lakini hili vazi sio too much kwa kusafiri tu?


Tunaona angevaa hii dress na heels au raba nyeupe au nyeusi bila ya hio coat ingekuwa afadhali ikiwa yeye ni mtu maarufu na alikuwa anapokewa na waandishi wa habari angevaa tu vazi ambalo ni class, comfortable & cool
Anyways tuambie kwako umeonaje vazi hili yuko sawa au amezidisha?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…