Kwa sasa mwanadada aneongelewa zaidi katika anga ya muziki ni Zuchu, amesainiwa hivi karibuni na WCB ikiwa chini ya mwanamuziki Diamond Platnumz. Zuchu anafanya vizuri na nyimbo zake lakini sehemu ambayo tunaona iko wrong ni upande wa fashion.
Anaonekana anapenda fashion na anapenda kujaribu lakini tatizo ni linakuja anajaribu in a wrong way. Tuongelee huu muonekano wake wa hivi karibuni ambapo alikuwa anajaribu “Athleisure Style”
Athleisure Ni Uvaaji wa kuchanganya nguo za kimichezo na nguo za kawaida.
Zuchu alionekana akiwa amevalia, blazer ya njano, shirt nyeupe, track pant nyeusi akimalizia na kicks, socks na miwani.

This outfit could be better kama angevaa kitu cha kubana chini au angetoa hio blazer, ameonekana nguo zimemvaa badala ya yeye kumvaa. The track suit ruined the outfit kwa sababu ni kubwa.
Lakini pia mtindo wa nywele, tayari mavazi yalishamvaa akaja kuongeza uzito na nywele kwa kuziachia na kufanya outfit izidi kuonekana nzito na mambo mengi yanaendelea. Anyways Afromates let us know your thoughts on this look.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…