Paris Fashion Week 2018 hakika huiteka dunia maana wabunifu nguli duniani huonyesha collections zao katika jiji hili la mahaba na mitindo. hususani wiki ya Haute Couture wabunifu hutupa ladha za kipekee maana hadi uweze kuwa na a Haute Couture collection, kuna masharti lazima mbunifu ayatimize. Masharti haya ni pamoja mbunifu kuwa na workshop jijini Paris yenye kuajiri japo wafanyakazi 15 full time na kila season yaani mara mbili kwa mwaka aweze kushowcase collections jijini Paris ya mavazi ya usiku na daytime. Si kazi ndogo ati!
Mwaka huu tumevutiwa na collections za wabunifu maarufu Giambattista Valli, Chanel, Dior na Ralph & Russo.
GIAMBATTISTA VALLI
Collection nzima ilikuwa ni ya hatari. Kwa hakika twataraji kujionea Alist Hoyywood celebs wakivalia mavazi yake maana magauni yake yamebuniwa kufaa red carpets nyingi. Chiffon imetumika kwa wingi pia zile tulles ziliteka macho ya wengi. Tayari tumejionea model Kendall Jenner akivaa nguo za mbunifu huyu alipohudhuria tuzo za Golden Globes mwaka huu.
CHANEL
Collection ilikuwa na suits, Chanel way pia short gowns ambapo rose, pink na white satin pamoja floral dressed zilitawala. Pia tulijionea floral crystals. Collection hii Karl Lagerflied alisema angependa kuwafikia na kuwaona young girl wengi wakipendeza na Chanel.
DIOR
Collection hii likuwa ni mchanganiko mzuri wa art na fashion. Pia models walionekana wakivalia head pieces za kitofauti ambapo mbunifu mkuu toka Doir, Maria Grazia Chiuri alielezea kuwa head pieces hizi zilimark a mask ball room party amabyo pia alifanya baada ya show yake hiyo ya mavazi. Tulipenda p[ia rangi zilizotumika na kupangiliwa, nyeusi na nyeupe zikitawala.
RALPH & RUSSO
Toka 2007 kuanzishwa kwake hadi sasa wemeveza kuiteka dunia ya ubunifu kwa kazi zao. Mwaka huu collection yako iliweza kuwa ya rangi za kuvutia na kung’aa wakitupa shades of red, yellow, violet, na pink. Ila funga kazi ilikuwa ni gauni la harusi ambalo blogger toka Brazil Camila Coelho aliweza teka wengi alipopita nalo katika runway.
Imeandikwa na @willibard_jr
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-week/paris-fashion-week-haute-couture-summer-spring-ss-2018/ […]