“Akifanya Diamond Platnumz ndio mnaona?” Ahoji Miriam Odemba
Miriam Odemba ni moja kati ya wanamitindo wachache wanaofanya vyema katika ngazi ya kimataifa. Ambaye ni wazi anapeperusha bendera ya Tanzania vyema.
Mapema katika mtandao wa Twitter kupitia ukurasa wake hakusita kuweka wazi hisia zake za malalamiko juu ya kile kinachoonekana serikali na wadau kuegemea upande mmoja zaidi. Miriam ameandika “Hata tukifanya kazi mnajifanya hamjaona awe Diamond ndio mnampa kiki oh my god tunahitaji pia kazi zetu zionekane kwani mnaboa sana”
Kauli hiyo ambayo ilichukua sura nyingine katika mtandao wa Twitter ambapo wapo waliokuwa wakisema anatafuta kiki, pia wapo waliosema sisi yeye aliyeandika na hata wale waliosema ni kweli kuna upendeleo upande mmoja.
Hata hivyo Miriam Odemba hakuishia hapo maana pia aliandika tena mambo mengine mengi hasa ya ndoto zake za kujenga shule ili aweze kusaidia wasichana walio wengi katika nchi ya Tanzania. Pia aliongelea kuhusu watu kupeana kazi wenyewe kwa wenyewe yaani udugulization
Story Credit @batro15
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/akifanya-diamond-ndio-mnaona-ahoji-miriam-odemba/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/habari/akifanya-diamond-ndio-mnaona-ahoji-miriam-odemba/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/akifanya-diamond-ndio-mnaona-ahoji-miriam-odemba/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/habari/akifanya-diamond-ndio-mnaona-ahoji-miriam-odemba/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/habari/akifanya-diamond-ndio-mnaona-ahoji-miriam-odemba/ […]