Labda kwa sababu she is an island girl ndo maana ana penda rangi, tunajua wengi wanao tokea visiwani ni wapenzi wa rangi una weza kumuangalia Rihanna au celeb yoyote mwenye asili ya kisiwani ni mpenzi wa colors na hatusemi ni wote na wala hatusemi ambao hawatokei visiwani hawapendi rangi hapana, Naballah Chi ni style,fashion blogger lakini pia ni make up artist, tumependa jinsi anavyo style nguo zake na jinsi alivyo colorful kama wewe ni muislam una penda rangi lakini hujui jinsi ya kuji style Naballah is your girl
orange na animal print shoes & hijab
Pink & zambarau vibes una weza kuona jinsi alivyo zichanganya baby pink, pink iliyo koza kidogo,zambarau yaani ana jua kucheza na rangi kwa kweli
Orange na pink turban game yake is on point
Nyeupe & silver
Floral dress vs color fullhijab style
ni mpenzi wa orange inaonekana to her orange is a new black
accessorize game yake ipo on point, na kila siku her make up is on fleek we love us some Nabbalah blog yake ime fungwa ila una weza bonyeza hapa kuingia kwenye instagram yake moja kwa moja
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/habari/al-jumaa-hijabista-naballah-chi-kutoka-trinidad/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/al-jumaa-hijabista-naballah-chi-kutoka-trinidad/ […]