Msanii wa muziki Ali Kiba amefunga ndoa leo asubuhi huko Mombasa,Kenya. Na hili ndilo vazi ambalo amechagua, tumejaribu kujua limetokea wapi, Ni vazi ambalo linavaliwa na watu wa Oman ambapo huwa wanavaa kanzu kama kawaida
Ali amevaa Kanzu nyeupe yenye urembo wa rangi ya gold, wakati juu amevaa dis dash nyeusi nayo ina urembo wa gold amemalizia muonekano wake na Cashmere kerchief, Mila ya wa Oman au namna ambavyo huvaa mavazi yao kiunoni huwa wanafunga kitu kinaitwa khanjar iko kijichuma hapo kiunoni, mara nyingi wanavaa hivi katika hafla muhimu
Oman mtoto wa kiume ana kabidhiwa khanjar yake ya kwanza katika hafla muhimu kama birthday au eid celebration na kwa watoto huwa ndogo kulingana na anavyokuwa ndivyo anzidi kuongezewa ukubwa.
we love kiba outfit japo ingefanyika proper ingekuwa bora zaidi kama angetumia kanzu na icho cha kiunoni au angevaa mkanda mdogo wa chuma ili kuondoa kuonekana mambo mengi. He looks good though.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/habari/ali-kiba-achagua-vazi-la-kioman-katika-harusi-yake/ […]