Unaweza kumjua kutokana na filamu zake alizo cheza kama The Mask of Zorro na Donkey’s Christmas Shrektacular, lakini tulicho kuwa hatukijui wala kukifikiria ni kwamba Antonio Bendera ana penda mitindo pia, katika ukurasa wake wa instagram muigizaji antonio bendera (55) ameweka picha na kuweka maelezo haya ” juma la pili la masomo katika chuo cha Central St Martin limeanza, wakati mwingine ni magumu,inasisimua, makini na furaha wakati huo huo”
Msemaji wa chuo cha University of the Arts London Central Saint Martins amethibitisha kuwa bendera amejiandikisha katika shule yao, Antonio Bendera anachukua kozi fupi ya bespoke tailoring kwa wiki nne. “bendera ameanzia mwanzo na anajifunza misingi” alisema
inaonekana watu wengi wana vipaji vya ubunifu, letu jicho kuona nini kinafuata kutoka kwa Antonio Bendera
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/habari/antonio-bendera-darasani-kusomea-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/antonio-bendera-darasani-kusomea-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/habari/antonio-bendera-darasani-kusomea-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 13041 more Info on that Topic: afroswagga.com/habari/antonio-bendera-darasani-kusomea-mitindo/ […]