Vuta nikuvute ya nani atakaeenda kuwakilisha Nchi katika mashindano ya urembo Duniani inaendelea kuwa kubwa. Juzi Miss Tanzania Organization ilitoa taarifa kwamba Miss Tanzania Rose Manfere hatoweza kwenda kuiwakilisha Nchi katika mashindano hayo kutokana na utovu wa nidhamu, Rose alijibu kwa kusema hana hio taarifa na baraza la sanaa Tanzania (BASATA) pia walisema hawana taarifa na kutaka kikao na pande zote mbili kwaajili ya kutoa maamuzi.
Jana maamuzi yalitoka na Basata walisema hawajaridhishwa na sababu walizotoa Miss Tanzania Organization na muwakilishi aendelee kuwa Rosey Manfere
Imeonekana Miss Tanzania Organization nao hawajaridhishwa na maamuzi hayo ya baraza na kushikilia msimamo wao wa kumpeleka mshindi namba mbili katika mashindano hayo ya Miss World.
Kutokana na Barua ya Basata kutakua na kikao tena tarehe 23.7.2021 tunadhani tuendelee kusubiri kuona je ni nani ataenda kuwakilisha Nchi.
Kwa sasa tungesema wakae chini wa-discuss pande zote mbili na waache maneno ya mitandaoni ilikuepuka kujitia doa Miss World.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/habari/basata-vs-miss-tanzania-organization/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/habari/basata-vs-miss-tanzania-organization/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 99713 additional Info to that Topic: afroswagga.com/habari/basata-vs-miss-tanzania-organization/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/habari/basata-vs-miss-tanzania-organization/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 81331 more Information on that Topic: afroswagga.com/habari/basata-vs-miss-tanzania-organization/ […]