Beyonce ni kama ame fanya before & after challenge, kama mna kumbukumbu nzuri Beyonce ali break internet na picha zake za maternity wakati akiwa mjamzito na watoto wake mapacha ambao amajifungua mwezi mmoja ulio pita na kuwapa majina Rumi na Sir. Carter. Picha yake moja ambayo ilionekana kupendwa na wengi na hata baadhi ya watu maarufu kui-recreate katika maternity photo shoot zao ni hii
imeonekana beyo ameipenda sana hii ameamua kutumia theme hii hii kuonyesha sura za watoto wake, well je ita break internet kama ya kwanza? we wait & see
Na kwa wale ambao walikuwa wanajiuliza jinsia tunadhani tayari tumesha jibiwa na hio pink & blue inayo endelea hapo mapacha hawa ni wa kike na kiume, Tunadhani Rumi ni wa kike na Sir. Carter wa kiume we can’t wait to see Jigga with his mini me
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/beyonce-ame-recreate-martenity-photoshoot-yake-kutuonyesha-watoto-wake/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/habari/beyonce-ame-recreate-martenity-photoshoot-yake-kutuonyesha-watoto-wake/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/habari/beyonce-ame-recreate-martenity-photoshoot-yake-kutuonyesha-watoto-wake/ […]