SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

BEYONCE ATAKA KULIPWA FIDIA KWA KUTUMIA JINA LAKE
Habari

BEYONCE ATAKA KULIPWA FIDIA KWA KUTUMIA JINA LAKE 

KI bongo bongo ni kawaida kwa kampuni fulani kutumia jina la mtu maarufu fulani kutengeneza hela ina wezekana pia hata wasimshirikishe katika suala hilo ila huko mtoni ni tofauti kidogo. Beyonce aipeleka mahakamani kampuni ya Texas company inayo uza bidhaa online kwa kutumia jina lake na kutumia baadhi ya mashairi ya nyimbo yake,

Screen-Shot-2016-04-05-at-7.44.04-PM

Beyonce awataka kampuni hio kuacha kutumia jina lake na pia kumlipa faida waliyo ipata kutokana na mauzo ya bidhaa hizo, tunajua Beyonce ana kampuni yake ya mavazi kwaio imeeleweka kwa nini ana taka watu wasitumie jina lake kwa kuwa itamuharibia katika biashara yake.

0405-feyonce-mug-feyonce-inc-4-718x500

Related posts

1 Comment

  1. Bubble Tea

    … [Trackback]

    […] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/habari/beyonce-ataka-kulipwa-fidia-kwa-kutumia-jina-lake/ […]

Leave a Reply