Anaitwa Anna Enock wengi tunamjua kwa jina la Lavidoz, ni moja kati ya fashion influencers wa hapa kwetu Tanzania, Lavidoz amejipatia jina lake kutokana na kazi zake ni Style blogger katika blog yake inayoitwa Lavidozstyle.com, Owner of Lavidos store, Brand Influencer, Image consultant na Freelance Fashion designer for Lavidos. Well tunaweza kusema a lady has it all linapo kuja swala la style na fashion. Leo tumefanya nae mahojiano ili kupata kumjua zaidi lakini pia kujifunza mambo mbali mbali kuhusu mitindo kutoka kwake
Afroswagga – Style ina maanisha nini kwako?
Lavidoz- Style to me is a from expression of who you are ,your interests your likes and it is a way of speaking to the world
Lavidoz- My style is classy ,elegant, modern ,i like to mix high end fashion pieces to my wardrobe to give it a cool retro vibe into it .I don’t think niliitengeneza hii style , after trying different types of style i noticed what i m more comfortable in ,the colors that look good on me n that all i came about .
Afroswagga- a style tip ambayo you live by (unaitumia mara nyingi)
Lavidoz- Shoes ..Shoes ! Every girl needs good shoes .No great outfit without great shoes ..
Lavidoz- its really hard to keep up with all t the trends but not every trend is for everyone ,choose something that will look good on you and try it .
Afrowagga -Outfit ipi au vazi gani unadhani ni salama katika kila occasion (failsafe outfit that works in every occasion)
Lavidoz – LBD ..The little black dress ,every woman needs one from meetings to cocktail parties .
Afroswagga -Watu wengi hasa maarufu huwa wana kosea mavazi kwenye red carpet una weza kuwapa tips chache za nini waangalie wakati wanachagua outfit kwa ajili ya redcarpet?
Lavidoz – Simplicity is the key when it comes to red carpet ,don’t try to wear everything from your closet .
Afroswagga – Upo kiasili (natural) kuanzia ngozi adi nywele unaweza kutuambia tips unazo tumia kufanya ngozi yako iwe nyororo lakini asili na tip yoyote muhimu kwa natural hairLavidoz – Asante ..first i only use baby products on my skin ,2 drinking lots of water and taking numerous amount of fruits ,living a healthy lifestyle by working out at list twice a week ,but don’t forget to moisturize your skin ,this is my secret weapon fro glowing skin .My hair i just do the basics with it i wash and condition it often and i avoid over heating it .
Afroswagga – Tutajie fashion trend ambayo huwezi kuijaribu hata siku moja
Lavidoz- The only trend i would never try is if it shows parts of my body ,i wouldn’t wanna half naked ,if its not in my culture ,but i am very flexible in trying anything cool out there so long as it suits my personal style.
Afroswagga – Kama ungepewa nafasi ya kuchagua kabati la mtu yoyote maarufu ungechagua kuchukua kabati la naniLavidoz – Monica Brown or Kourtney Kardashian
Kourteny Kardashian
Lavidoz- Its always a big disappoint especially now that we have numerous numbers of stylists in the fashion industry in Tanzania
Afroswagga – Tip 3 muhimu za kumwambia msomaji ambazo anaweza kufanya aonekane stylish kila sikuLavidoz-Confidence is the key to looking good have the right attitude or demeanor for the outfit don’t let the outfit wear you.
.Its not about what you buy,its how you wear it ,its not about price tags
.Invest more in vintage shopping /thrifting (mitumba) this will help u create your own unique style .
Well Asante Lavidoz kwa ushirikiano wako mna weza kutembelea blog yake kwa kubonyeza hapa Lazidozstyle.com, kumfollow instagram @lavidoz, kusoma interview nyingine kutoka week iliyopita bonyeza hapa
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/habari/blogger-feature-styling-tips-kutoka-kwa-stylist-lavidoz/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/habari/blogger-feature-styling-tips-kutoka-kwa-stylist-lavidoz/ […]