Katika vitu ambavyo wengi wanachukia kuangalia filamu zetu za kitanzania ni uhalisia, uongo mwingi kuna mpaka sms za vichekesho zimetungwa kutokana na movie hizi za kiswahili, sisi kwetu tunachukia kuangalia movie’s hizi kutokana na mavazi wengi wao huwa wanavaa vitu haviendani na occasion, kazini mtu ana min skirt ya club, mavazi yapo yapo tu. Tunachojua kama ni kwa wenzetu story ya movie inaelekeza muigizaji ana pashwa avae nini na wanajitahidi kushirikisha wabunifu na stylist kufikia hata nusu ya lengo lao na ndio maana kuna movies unaweza kuona mtu kavalishwa vazi anaonaka kama paka ni kwa sababu story imetaka hivyo, long story short kwa wale ambao mnapenda mitindo mtakuwa mna mjua huyu dada Toke Makinwa ni Nigerian radio personality, television host, vlogger, na bestselling author hio according to Wikipedia wakiwa wamesahau ni slayer pia. Juzi amepost hii picha ambayo page nyingi za fashion waliitumia kama wedding guest outfit ideas etc lakini sisi tulienda deep kusoma caption yake, hapa alikuwa set ya movie yake mpya
Hii movie itakuwa na scene ya harusi na hapo ndivyo jinsi Toke atakavyo attend hio harusi, that level of slayange ni kwa ajili ya movie tu na sio show off za instagram au red carpet,
make up on point, gere on point, dress on point unaweza kuhisi anaenda kwenye harusi kweli.
Ukiachana na yeye kuna wasanii mbali mbali ambao kashirikiana nao pia ambao nao wame pendeza mno kwenye hio movie inaonyesha Toke ameamua kushirikisha wabunifu, stylist na makeup artist wa uhakika kwenye hii movie
Bongo movie tunahitaji hiki kitu, story nzuri, quality nzuri ya movie na mpendeze jaribuni kushirikiana na watu wengine, stylist atatangaza jina lake kupitia movie yako, mbunifu aonyeshe uwezo wake apate wateja kupitia movie yako, make up artist ajitahidi kuweka kazi yake katika nafasi nzuri kupitia movie yako lakini pia movie yako itoke ikiwa na kitu cha uhakika tununue tuangalie basi tusipo p
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 22766 more Info to that Topic: afroswagga.com/habari/bongo-movie-jifunzeni-hapa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/habari/bongo-movie-jifunzeni-hapa/ […]