Kampuni ya vipodozi ya Dove imetoa body wash (sabuni za mwili) mpya na wame tengeneza chupa ambazo wenyewe wanasema zinaonysha shape ya kila mwanamke na kwa upande wao wanataka wanawake wawe proud na mwili wao, Well ni strategy nzuri lakini kweli mtu anunue body wash ambayo ina shape ya mwili wake yaani mfupi anunue fupi, mnene,mwembaba, mrefu dove really now?
Kwa sasa kila mtu ana jaribu kuvutia biashara yake kwa kutaka kila mtu ajitambue yu mzuri vile alivyo iwe rangi, shape ya mwili au ku rock natural hair na ni kitu kizuri lakini kabla ya kufanya unacho taka kufanya unatakiwa utambue je unao wapelekea bidhaa wataipokea jinsi wewe unavyo taka waipokee?
na the internet is not playning likija swala zima la kumkosoa mbunifu aliye haribu kitu na hizi ni baadhi ya tweet za watu wakikosoa kampuni hio
Je nini maoni yako kuhusu hizi body wash bottles?
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you will find 45707 additional Information on that Topic: afroswagga.com/habari/dove-watoa-body-wash-mpya-na-chupa-zake-zimeleta-utata/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/habari/dove-watoa-body-wash-mpya-na-chupa-zake-zimeleta-utata/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/habari/dove-watoa-body-wash-mpya-na-chupa-zake-zimeleta-utata/ […]