Ni msimu mwingine umetujia wa Coke Studio Africa, ambapo mwaka huu the theme ni DISCOVERY, tukiwa na shauku kubwa ya kudiscover muziki mzuri pia mavazi maridadi toka kwa wasanii mbalimbali barani Africa.
Wasanii mbalimbali watatumbuiza na kutuburudisha huku wakipendeza na kung’ara; wakiwemo Yemi Alade, Rayvanny, Nandy, Kaligraph Jones na wengine kibao.
Well this week tulimuona our very own Rayvanny. Katika wasanii wa WCB wenye coordination katika uvaaji well Rayvanny tops our list. Katika performance yake, he served us dark colours, nyeusi ikiwa in control but aliweza kupendeza. Tulijifunza kuwa one can stay away from bright colours yet akaweza kupendeza with the dull colours such as black and grey.
Also his signature bandana iliweza kumatch na kucoordinate na outfit yake so it was a big thumbs up kwake na team nzima ya stylists waliohusika
Bonyeza hapa kutazama Coke Studio Africa Season 5, Episode 1.
Wasanii gani watakuwepo kwenye Episode 2 Jumamosi hii? Comment jibu lako hapo chini.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/habari/fashion-review-rayvanny-coke-studio-africa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/habari/fashion-review-rayvanny-coke-studio-africa/ […]