Aliyekuwa mshindi wa Miss Talent (Muttichoice)katika shindano la miss Tanzania 2010 Flora Florece, ambaye sasa amekuwa kaijishughulisha na biashara za binafsi katika mji wa Morogoro.
Licha ya baishara zake lakini pia Flora amekuwa mdau wa mashindano mbalimbali ya urembo katika Mji wa Morogoro na kwingineko.
Flora hakusita kuweka wazi kile kinachoonekana kuzorotesha tasnia ya urembo katika mji wake wa Morogoro, ambapo aliliambia jarida la Mweeh “Kuridhika na mataji ya hapa mkoani ndio kinachofanya washindwe kufanya vizuri ngazi ya taifa,kiukweli hawafanyi bidii wakifika katika mapambano yale makubwa. Licha ya mimi kuwapa moyo na hata kuwapa mbinu za kupambana bila kukataa tama ili kuhakikisha ushindi unapatikana, lakini hata hivyo bado imekuwa tatizo sugu.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/habari/flora-flolence-sababu-za-kuzorota-tasnia-ya-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 2445 additional Information to that Topic: afroswagga.com/habari/flora-flolence-sababu-za-kuzorota-tasnia-ya-urembo/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 19619 additional Information to that Topic: afroswagga.com/habari/flora-flolence-sababu-za-kuzorota-tasnia-ya-urembo/ […]