SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

FLORA FLOLENCE “SABABU ZA KUZOROTA TASNIA YA UREMBO”
Habari

FLORA FLOLENCE “SABABU ZA KUZOROTA TASNIA YA UREMBO” 

Aliyekuwa mshindi wa Miss Talent (Muttichoice)katika shindano la miss Tanzania 2010 Flora Florece, ambaye sasa amekuwa kaijishughulisha na biashara za binafsi katika mji wa Morogoro.

10980705_1455790644676351_8447077578459602718_n

Licha ya baishara zake lakini pia Flora amekuwa mdau wa mashindano mbalimbali ya urembo katika Mji wa Morogoro na kwingineko.

Flora hakusita kuweka wazi kile kinachoonekana kuzorotesha tasnia ya urembo katika mji wake wa Morogoro, ambapo aliliambia jarida la Mweeh “Kuridhika na mataji ya hapa mkoani ndio kinachofanya washindwe kufanya vizuri ngazi ya taifa,kiukweli hawafanyi bidii wakifika katika mapambano yale makubwa. Licha ya mimi kuwapa moyo na hata  kuwapa mbinu za kupambana bila kukataa tama ili kuhakikisha ushindi unapatikana, lakini hata hivyo bado imekuwa tatizo sugu.

Related posts

3 Comments

  1. Recommended Site

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/habari/flora-flolence-sababu-za-kuzorota-tasnia-ya-urembo/ […]

  2. Where to buy Psilocybe Azurescens Mushroom online Australia

    … [Trackback]

    […] Here you can find 2445 additional Information to that Topic: afroswagga.com/habari/flora-flolence-sababu-za-kuzorota-tasnia-ya-urembo/ […]

  3. browse around this website

    … [Trackback]

    […] There you will find 19619 additional Information to that Topic: afroswagga.com/habari/flora-flolence-sababu-za-kuzorota-tasnia-ya-urembo/ […]

Leave a Reply