Rapper Asap Rock ametajwa kuwa prettiest man alive na gazeti kubwa la GQ, Asap amekuwa aki-make headlines kutokana na mitindo yake mbalimbali ya mavazi. Ni moja ya rapper ambao anavaa chochote kitakacho mpendeza machoni kwake, kuanzia skirt, kupaka rangi kucha na kuvaa babushka.
katika interview hii na gazeti la GQ Asap ameongelea maswala mbalimbali ikiwepo kukaa kwake jela mwaka 2019, muziki pamoja na mahusiano yake na bad gal riri.
Kulikuwa na rumors kwamba ana date na Rihanna na wameonekana mara nyingi wakiwa pamoja kwenye dates, ASAP ameuhukakikishia ulimwengu kupitia interview yake kwamba ana date na Rihanna and she is the one,
Rocky, ambae jina lake kamili ni #RakimAthelastonMayers, anapenda kumuita Rihanna “my lady” na “the love of my life.”
akiongea na GQ magazine Rocky amesema, “[Relationships are] so much better when you got the One.” He said, “She amounts to probably, like, a million of the other ones.”
Soma interview nzima hapa ASAP Rock
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/habari/gq-wamataja-asap-rock-kuwa-prettiest-man-alive/ […]