Ikiwa ime pita siku moja tu toka Wema azindue lipstick zake, mwanadada Happiness au Millen Magese miss Tanzania 2001 ambae pia ni mwanamitindo mkubwa anae fanyia kazi zake nje ya nchi amempongeza mwanadada Wema Sepetu kwa kuanzisha mradi wake wa vipodozi (lipstick) hivyo vilivyo pewa jina la Kiss.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Millen Magesse amendika yafuatayo
We will all learn from you ……..and be proud one day , Because All that matters is how we get up and walk again not how we fall , How we find another way to reach where we wish to be and not how we got lost . Another day to be so proud of you lil sis. Your Empire is here to stay ….keep your heads up . Congratulations dear @wemasepetu I’m so proud of you and your new successful journey . May God guide you because there indeed more to come ….. #EndlessEmpire . #KissByWemaSepetuLaunch #SuperProud All the best dear #TheWorldIsEnoughForEveryone.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/habari/happiness-magese-ampongeza-wema-sepetu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/happiness-magese-ampongeza-wema-sepetu/ […]