Herieth Paul ni International Model kutoka Tanzania ambae anafanya vizuri sana kwa sasa, Herieth anaishi Canada sasa hivi ambapo ana tutangaza vizuri sana mwaka jana tuliongea mengi kuhusu yeye alifanya makubwa ikiwepo kutembea katika jukwaa la Victoria Secret lakini pia alisainiwa kuwa face of maybelline Cosmetics, Mwaka huu Herieth ameendelea kukua & she doesn’t show any sign to stop
Amekuwa featured kwenye magazeti makubwa mbalimbali ya fashion mwaka huu ataonekana katika Gazeti la Elle September Issue
View this post on InstagramRunning around in Brooklyn smiling for 📷📸 #elle
A post shared by Herieth Paul🇹🇿 (@heriethpaul) on
View this post on InstagramLady in red 👠 #elleseptemberissue
A post shared by Herieth Paul🇹🇿 (@heriethpaul) on
Pia ata onekana katika gazeti la harpersbazaarus September issue
Na pia ataonekana katika gazeti la fashioncanada September issue pia
View this post on InstagramCANADA has my heart ❤️ So happy to be representing CANADA in @fashioncanada September issue! 🇨🇦
A post shared by Herieth Paul🇹🇿 (@heriethpaul) on
Kama haitoshi Herieth ametangaza jana mwaka huu pia atapanda katika jukwaa la Victoria Secrets tuseme Asante Herieth kwa kututangaza lakini pia hongera sana ni mfano wa kuigwa
View this post on InstagramA post shared by Herieth Paul🇹🇿 (@heriethpaul) on
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…