Mwanamitindo mTanzania Herrieth Paul anae fanyia kazi zake nje ya Nchi ambapo ana ipeperusha bendera ya Tanzania vizuri amechaguliwa kufanya kazi na kampuni ya vipodozi vya Maybelline kutoka ulaya.
Herrieth ambaye amesha fanya kazi na wabunifu wakubwa kama DVF, Tom Ford, Armani, na 3.1 Phillip Lim, Herrieth ameelezea furaha yake ya kufanya kazi na kampuni hiyo kwa kuandika yafuatayo katika ukurasa wake wa Instagram “This has been the hardest-kept secret of my entire life AND the highlight of my career. I am so honored & excited to announce that I am joining the Maybelline family!!!! I’m so grateful to be named a global spokesmodel for the world’s #1 cosmetics brand.”
Herrieth ameungana na wanamitindo wakubwa kama Gigi Hadid, Adriana Lima, Emily DiDonato na wengine wengi wanao fanya kazi na kampuni hio.
Hongera Herrieth. Go Tanzania
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…