Mashindano ya Miss World yalikuwa yanaendelea huko Sanya, China na jana Miss World amepatikana ambapo ametoka Nchini India mwanadada Manushi Chhillar (2o) ambae anasomea udaktari amechukua taji na kuwa mrembo wa Dunia.
Wenzetu Kenya waliwakilishwa na mwanadMagline Jeruto, ambae amefanikiwa kufika Top 5 ya Miss World
Tanzania tuliwakilishwa na mwanadada Julitha Kabete, ambae hakufanikiwa kuingia kwenye top 40. Kizuri ni kwamba kila mwaka huwa tunarudi na experience kitu ambacho ni kizuri tunapata kujua huko kunatokeaga nini. Mwaka huu hatuwezi kumlaumu Miss maana ameteuliwa na kutangazwa siku mbili kabla ya Miss kuondoka kwenda Sanya, China kwenye mashindano.
Hakupata interviews wala kufanya kazi za kijamii ili jamii ipate kumjua japo wanasema heri nusu shari kuliko shari kamili sisi tunasema kama imeshindikana basi tupumzike na kujipanga upya.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/habari/india-imeshinda-miss-world-kenya-yaingia-top-5-na-tanzania-tumeondoka-na-experience/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 77888 additional Info to that Topic: afroswagga.com/habari/india-imeshinda-miss-world-kenya-yaingia-top-5-na-tanzania-tumeondoka-na-experience/ […]