Jeremy Meeks alikuwa talk of social networks mwaka 2014 ambapo mug shot yake iliwekwa mitandaoni akiwa charged na kosa la weapons charges (ni matumizi ya silaha kitu kama icho), Wasichana wengi walikuwa waki mpost au ku comment comments za kumpenda kila picha hio ina postiwa as the guy is hot na akawa ana julikana kama Hot Felon” and $FelonBae.
Jeremy alisaini mkataba wa kuwa model akiwa jail na alipo toka march 2016 alianza kazi moja kwa moja, na kwa sasa Jeremy ameonekana katika jukwaa la New York Fashion Week akiwa ana model mavazi kutoka kwa mbunifu Philipp Plein.
Jeremy alivaa al black katika fashion show hio na as usual he looked hot, Jeremy ali promise kuwa mtu mzuri akitoka jail kufanya kazi yake ya u-model kwa bidii na kutunza Familia yake (yah familia yake ame oa sorry ladies he is taken), our hopes ni aendelee kuwa hivyo ili kuwapa motisha wale wengine kwamba unaweza kuwa mtu mzuri na ukafanikiwa ki maisha sometimes you have to bad to be recognized (not too bad though)
Wasiliana nasi kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – Afroswaggamag
Twittwe – afroswaggatz
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/jeremy-meeks-being-bad-isnt-bad-after-all-nyfw-highlights/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/habari/jeremy-meeks-being-bad-isnt-bad-after-all-nyfw-highlights/ […]