Anaitwa Cax Me, Ni mwanamitindo mwenye mguu mmoja ambae alipoteza kiungo hicho kutokana na cancer ya mifupa na mapafu, aliambiwa ana wiki tatu tu za kuishi lakini Mungu Mkubwa akapona na ameendelea kuishi mpaka hivi leo pia si tu kuishi bali ana fuata ndoto zake ambayo moja wapo ni kuwa mwanamitindo. Soma Habari yake Hapo chini
The name is pronounced [Cax. Me] but my friends call me Cax. Mama Càx is my blogger alter ego. This is a blog focusing on my travels, my love for food and fashion.
MY STORY
I was born in Brooklyn in 1989 but was raised in Montreal & Haiti. At the age of 14 I was diagnosed with bone & lung cancer- I was given 3 weeks to live but beat the odds with an experimental drug and luck. Surviving cancer came with a price; I had my right leg ampuated. Today I walk with a prosthetic leg along with two forearm crutches.
At 17, I traveled to Costa Rica and have never been able to get rid of the traveler’s bug. Since then, I have been to 19 countries throughout 4 continents.
LIFESTYLE/FASHION: I also couldn’t ignore my undeniable love for fashion. Being bionic can’t possibly be boring. I muse for Fanm Djanm , a headwrap company owned by Paola Mathé . Occasionally get featured on fashion blogs & magazines.
I haven’t been too content about the mainstream imagery of beauty. I’ve made it my personal mission to infiltrate the “beauty industry”- Walking down the street with crutches and a prosthetic leg, people often shout “you go girl! you’re still beautiful” STILL?…. I AM beautiful and I’m here to show you how beautiful I am inside and out.
Contact Info : mamacaxblog@gmail.com
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/habari/jifunze-kitu-kutoka-kwa-mwanamitindo-mwenye-mguu-mmoja/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/jifunze-kitu-kutoka-kwa-mwanamitindo-mwenye-mguu-mmoja/ […]