Muigizaji na Producer Julia Roberts (49) ametajwa kuwa mwanamke mzuri zaidi wa mwaka 2017 hii si mara ya kwanza kwa Julia Roberts kutajwa na gazeti hilo la the People’s, Hii ni mara ya tano kwa mwanamama huyu mwenye watoto watatu (wawili twins) ku own tittle hii. Mara ya kwanza aliipata kwanza mwaka 991 halafu mwaka 2000, 2005 na 2010 na sasa mwaka 2017
Well ikiwa mwenyewe ame furahia sana wananchi wanaonekana kuto kuwa na furaha na yeye kuchaguliwa tena kwa miaka mitano wengi waki claim ni mwaka 1991 na wengine wana sema its about time watu weusi wapewe tittle hio japo wapo tayari ambao walisha tajwa kuwa wanawake wazuri na sio weupe kama Lupita Nyong’o in 2014, Beyoncé in 2012, Jennifer Lopez in 2011 na Halle Berry in 2003.
Baadhi ya meme zilizopo Twitter kuhusu Julia Roberts,
Mates nini maoni yenu? hivi wnawake wazuri wako huko tu duniani huku Africa Hamna?
Tupe maoni yako kupitia mitandao yetu ya kijamii au email us kupitia afroswagga69@gmail.com
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/habari/julia-roberts-atajwa-kuwa-mwanamke-mzuri-zaidi-2017-na-peoples-magazine/ […]