Julitha Kabete (21) alichaguliwa mwaka jana na kampuni ya aliye kuwa Miss Tanzania Hapiness Magesse kwenda kushiriki Miss Africa 2016 ambapo alishika nafasi ya 5, mwaka huu amebahatika tena kuchaguliwa na kamati ya Miss Tanzania kwenda kutuwakilisha katika mashindano ya Miss World 2017/2018.
Julitha ameonekana kutajwa katika list ya Miss World kama mshiriki ambae ataiwakilisha Tanzania katika Miss World 2017/2018
hii inamaanisha hakuto kuwa na mashindano ya Miss Tanzania mwaka huu maana wamesha teua atakae wakilisha Nchi katika Miss World, Je haya mashindano ya vitongoji yaliyo anza yataishia wapi? vigezo gani vimetumika kumchagua Julitha? Je zawadi zake za kuwa Miss Tanzania atapewaje? maswali yapo mengi ambayo hayana majibu ni kizungu mkuti. Kila la Kheri Julitha na hongera kwa kuteuliwa
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/habari/julitha-kabete-kuiwakilisha-tanzania-katika-miss-world-201718/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/habari/julitha-kabete-kuiwakilisha-tanzania-katika-miss-world-201718/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/habari/julitha-kabete-kuiwakilisha-tanzania-katika-miss-world-201718/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/habari/julitha-kabete-kuiwakilisha-tanzania-katika-miss-world-201718/ […]