Karrueche Tran muigizaji lakini pia ni mwanamitindo kutoka ulaya. ambae amekua maarufu kupitia mpenzi wake wa zamani na mwanamuziki Chriss Brown, Karrueche na Chriss wamekua na mtindo wa kuachana na kurudiana kwa muda mrefu lakini wakati huu inaonekana mambo yamekua mazito kidogo, mara kwa mara Karrueche na Chriss wame kua wakiachana kwa sababu tofauti tofauti ikiwemo Chriss kutembea na Rihanna lakini safari hii wameachana kutokana na kwamba Chriss ana mtoto wa nje. Je Karrueche kaamua kuishi maisha yake?
Karrueche ameonekana akiwa na Winga wa kimataifa wa Uholanzi anayekipiga katika klabu ya Manchester Memphis Depay ambaye amejiunga na klabu ya Manchester United katika majira ya usajili yaliyofungwa mwezi August mwaka huu akitokea klabu ya PSV Eindhoven ya Uholanzi.
Kwa sasa Karrueche Tran yupo karibu sana na staa wa klabu ya Manchester United Memphis Depay kitu ambacho kinafanya wengi wajiulize maswali kuhusiana na ukaribu huo. Depay na Karrueche Tran wameonekana pamoja wakiwa sehemu kadhaa kama Club LIV. Hii sio mara ya kwanza kwa Depay kuonekana akiwa pamoja na Karrueche Tran kwani waliwahi kuonekana katika picha ya pamoja kabla ya kuanza kwa msimu huu.
Related posts
7 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/habari/karrueche-tran-na-mpenzi-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/habari/karrueche-tran-na-mpenzi-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/habari/karrueche-tran-na-mpenzi-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/habari/karrueche-tran-na-mpenzi-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/habari/karrueche-tran-na-mpenzi-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 75655 additional Info to that Topic: afroswagga.com/habari/karrueche-tran-na-mpenzi-mpya/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/habari/karrueche-tran-na-mpenzi-mpya/ […]