Atlast una weza kumtuma nduguyo aliyeko South Africa akununulia original Yeezy bila kuwa na hofu ya kuletewa Fake, yeah kwa wale wanao penda kuvaa designers brands hii habari njema kwenu, Kanye ana tarajia kufungua maduka 21 katika baadhi ya nchi ambapo Maduka hayo yatakuwa kwa muda tu (pop up shops).
kupitia mtandao wake wa Twitter, Yeezy ameandika, “21 PABLO STORES WORLDWIDE THIS WEEKEND LOCATIONS HERE.”
akionyesha hio Ramani ya Dunia na una weza kuona alama nyekundu katika Ramani Ya Africa, Pale ni South Africa, Nchi nyingine ambapo maduka yake yatapatikana ni pamoja na Uingereza, Berlin, Amsterdam, Atlanta, Boston, Chicago, Dallas, Detroit, Houston, Las Vegas, Singapore na nchi nyingine nyingi.
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/habari/kati-ya-maduka-21-ya-kanye-1-litapatikana-africa/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 82388 additional Info on that Topic: afroswagga.com/habari/kati-ya-maduka-21-ya-kanye-1-litapatikana-africa/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 9876 more Information on that Topic: afroswagga.com/habari/kati-ya-maduka-21-ya-kanye-1-litapatikana-africa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/habari/kati-ya-maduka-21-ya-kanye-1-litapatikana-africa/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/kati-ya-maduka-21-ya-kanye-1-litapatikana-africa/ […]