Kendall & Kylie Jenner ambao wana sifika kwa kazi zao mmoja akiwa mwanamitindo mkubwa na mwingine mjasiriamali wameingia katika vita nzito dhidi ya mama wa B.I.G Notorious kutokana na kutumia picha ya B.I.G na 2 pac shakur bila ya ridhaa ya familia za wanamuziki hao maarufu ambao ni marehemu kwa sasa.
Mama wa B.I.G alichukua muda wake kuandika haya katika ukurasa wake katika mtandao wa Instagram
Kendall na Kylie wameamua kuondoa T-shirt hizo katika bidhaa zao na kuondoa picha za B.I.G na 2 Pac lakini pia wote wawili walichukua muda wao kuomba msamaha na kuandika yafuatayo katika kurasa zao za twittter
matukio haya ya kuchukua vitu bila ridhaa za wenye bidhaa yamekuwa yakiwakumba sana wana dada hawa wa The Kardashian mwaka huu ikiwepo la Kylie kushtakiwa kuiba idea za watu, pamoja na Khloe nae kushtakiwa kwa jambo hilo hilo.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…