Khloe Kardashia ni Cover girl wa gazeti la Shape litokalo May mwaka huu, na kuona tu cover tushapata hamu ya kuliona hilo gazeti, katika mahojiano na gazeti hilo Khloe ame sema alichoshwa kuitwa “the fat one” ana sema baada ya yeye na Lamar kuachana ali kua depressed watu walimshauri anende therapy na lakini yeye aliamua kwenda gym na huko ndipo alipo upata huu mwili wa sasa ambao wengi tunautamani ameongelea mengi una weza kusoma zaidi www.shape.com
Make Your Health a Priority—No Buts
“When Lamar and I broke up [in 2013], I had all these emotions that I didn’t know what to do with. Some people suggested therapy, but instead I joined my local Equinox gym, where I’d get on an elliptical and watch bad reality TV. As a result, I started losing weight. Once I realized I could shed some pounds that way, I began working out regularly with my trainer, Gunnar Peterson, and I made a commitment to get healthy. He taught me that the trick to staying motivated is to find what you really love to do. We did cardio, calisthenics, circuit training, Pilates, and boxing.”
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/habari/khloe-kardashian-anatupa-body-goals/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/habari/khloe-kardashian-anatupa-body-goals/ […]