Nani ambae hapendi kuvaa sawa na mwanae? hamna ni kitu ambacho kina bond mama na mtoto kwa namna moja au nyingine. Hii style ya ku match mama na mtoto imeanza zamani japo kwa sasa ndio inaonekana ina shika kasi kutokana na watu maarufu kuifanya pia, tumesha waona watu kama Beyonce, Kelly Rowland na wengine wengi.
Usiku wa kuamkia leo Kim Kardashian na mwanae Northwest walionekana ku match outfits wakiwa wana enda kwenye concert ya Kanye west
Kim na North walikua spotted in silver sequin dresses, ambapo Kim alivaa Gauni hio ya ming’aro na clear heels, wakati noth alivalishwa gauni hio na sneakers
Magauni yao kwa nyuma yana fanana pia
Kim alionekana kubana nyuma nywele zake wakati North walimuachia curly hair zake she looks adorable
kabla ya kuonekana katika mtoko huu Kim ali share tip kwenye website yake kuhusu jinsi anavyo zijali nywele zake katika kipindi cha baridi aliandika “Keeping your hair shiny and soft in the winter can be difficult! I only shampoo it twice a week to prevent it from drying out. I also love using hydrating at-home hair masks.’
Kim na Her Min- her
Related posts
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…