Jana taarifa ilitoka kutoka kwa Miss Tanzania Organization kwamba aliyekuwa Miss Tanzania 2020/2021 Rosey Manfere hatoweza kwenda kushiriki mashindano ya dunia ya urembo kutokana na utovu wa nidhamu. Taarifa hii ilishtua wengi na wengine kuhoji Utovu huu wa nidhamu ni upi?
Cha kushangaza zaidi ni baada ya Rosey kutoa taarifa kwamba yeye hakupewa hizo taarifa na kwamba hakuwa na taarifa za yeye kutokuwa muwakilishi wa Taifa hiyo December huko Nchini Puerto Rico.

Kama haitoshi Basata walipotafutwa na kuulizwa kuhusu ukweli wa hili swala nao hawakuwa na taarifa nayo ambapo Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Matiko Mniko amesema “kuna barua tumepokea kutuomba turidhie hayo maamuzi, sababu hatukua na taarifa hiyo na maamuzi hayo hayajaridhiwa na Baraza tumewaita pande zote mbili tuwasikilize kesho saa nne asubuhi na baada ya hapo tutatoa tamko kama Serikali”
Wakati tunasubiria kujua ni nani atatuwakilisha December swali ni kwanini hii habari itolewe kiholela bila kushirikisha baraza wala muhusika mwenyewe?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/habari/kizungumkuti-kuhusu-miss-tanzania/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/kizungumkuti-kuhusu-miss-tanzania/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/habari/kizungumkuti-kuhusu-miss-tanzania/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/kizungumkuti-kuhusu-miss-tanzania/ […]