Ndani ya kipindi kisichozidi miaka miwili kampuni ya The Trampery ilifunguliwa rasmi huko nchini Uingereza katika jiji la London, Ikiwa inaendelea kukusanya nguvu na kulitendea haki soko la mitindo kampuni inalazimika kufungwa kwa sababu ya ongezeko la kodi.
Wabunifu kama Jonathan Saunders, Holly Fulton and James Long wanahitaji msaada kwani na wao ni moja wa wahanga wa jambo hilo.
Kampuni hii ime jipatia jina kutokana na kusaidia makampuni ya wabunifu wa changa katika jamii, kampuni hii ilikua ikiwasaidiana sana wabunifu binafsi ambao wana biashara ndogo au za saizi ya kati kupata sehemu na mafunzo ya namna ya kufanya biashara/ kazi zao.
“The Trampery ni sehemu nzuri kwa kuanzia kumkuza mbunifu wa mitindo katika biashara” amesema Bi Caroline Rush mkurugenzi Mtendaji wa The British Fashion Council. “ni sehemu ya studio ambayo mnaweza kushirikiana vifaa na ni mtandao ambao umetengenezwa kukuza wabunifu katika biashara. Wafanya biashara wengi kwa sasa wana tegemea kituo cha The Trampery katika sehemu ya London Fashion Week. Ni muhimu kwetu na katika kituo hiki tuna jisikia tupo nyumbani.
Ili kufanya mradi uendelee , waandaji wa mradi huu wame kata rufaa ya muda mfupi ili watu waweze kupata ufahamu na kusaidia juhudi zao.
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/habari/kodi-kuondoa-matumaini-ya-wabunifu-london/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/kodi-kuondoa-matumaini-ya-wabunifu-london/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/habari/kodi-kuondoa-matumaini-ya-wabunifu-london/ […]