SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

KUTANA NA THE YEAR 2017 COLLECTION KUTOKA KWA THE AGNESS #SFW
Habari

KUTANA NA THE YEAR 2017 COLLECTION KUTOKA KWA THE AGNESS #SFW 

Bado tupo kwenye Swahili Fashion Week mood, na leo tunawaletea interview na mbunifu chipukizi ambaye alianza kuingia kwenye indusrty kama model Agness Nyagoha au theagness na brand yake ya Gifted Hands, haya ni machache tuliyo yapata kutoka kwake

AFRO: Waweza kutueleza kidogo kuhusu wewe, majina yako na ni lini ulianza safari hii ya ubunifu wa mavazi?

AGNESS: Naitwa Agness Nyahoga. Nilianza mwaka 2014 kama model lakini baadaye 2015 nikaamua kuwa mbunifu wa mavazi. Ubunifu wa mavazi ni kitu nilipenda toka nikiwa mdogo

AFRO: Kwanini uliamua kuhama toka kufanya modeling na kuwa mbunifu wa mavazi?

AGNESS: Nilitaka kufanya mambo makubwa zaidi kama kuvisha maraisi na watu wenye historia kubwa duniani

AFRO: Ni mara yako ya ngapi kuonesha mavazi yako katika jukwaa hili la Swahili Fashion week?

AGNESS: Ni mara yangu ya pili sasa kushiriki katika Swahili Fashion Week.

 

 

AFRO: Waionaje experience yako katika SFW? Muitikio wa watu katika kazi zako kiujumla unauonaje?

AGNESS: Imekuwa ya kipekee maana nimepokea pongezi nyingi na orders toka kwa clients, fashion producers from Kenya na South Africa pia media kwa ujumla.

AFRO: Tuzungumzie collection yako ya sasa. Inaitwaje na nini kilikuinspire kuiita hivi na the story behind it ni nini?

AGNESS: Collection hii nimeiita THE YEAR 2017. Ni kwa sababu mwaka 2017 umekuwaa mwaka wa mambo makubwa kwangu. Umenitambulisha kwa jamii pia kama mbunifu wa mavazi na brand yangu kukua. Nimeweza valisha watu maarufu nchini kama wasanii Weusi. Pia nimepokea tuzo zaidi ya moja kwa kazi hii. Hakika umekuwa wa maajabu.

AFRO: Ni fabrics na material gani zimetumika katika collection hii na ulipitia changamoto zipi hadi kuikamilisha maana ilikuwa ya kipekee?

AGNESS: Hapa ilikuwa mix ya Western na African prints. Pia ahadi kukamilika I had to think out of the box, kuwa mbunifu zaidi, kufikiria natengeneza nini na nalenga watu wa aina gani. Shopping ya materials pia, kuzunguka Karikaoo, Posta hata mitumbani. Hakika ilikuwa changamoto lakini nimeweza kujifunza mengi.

AFRO: Pia collections gani zingine zilikuvutia at the SFW?

AGNESS: (Kicheko) Dah! Kila mtu alifanya poa sana. They all had very good collections. I  can say everybody deserved it kwa kweli.

AFRO: Watanzania wenye kupenda na kutaka kazi zako  watakupataje? Ofisi zako na social media hadles zako ni zipi?

AGNESS: Well ofisi zangu zipo Kigogo Posta. Pia natumia @theagness on INSTAGRAM Number za simu: 0718383439

AFRO: Ushauri gani wawapa vijana majumbani wenye kupenda na kutaka kuwa wabunifu wa mavazi?

AGNESS: Waanze sasa ila wa

fanye kazi kwa viwango vya juu, hakika watafika mbali

Imeandikwa na @willibard_jr

Related posts

5 Comments

  1. youtube video download free

    … [Trackback]

    […] Read More on that Topic: afroswagga.com/habari/kutana-na-the-year-2017-collection-kutoka-kwa-the-agness-sfw/ […]

  2. Albino Penis Envy Mushroom Psilocybin

    … [Trackback]

    […] Find More on that Topic: afroswagga.com/habari/kutana-na-the-year-2017-collection-kutoka-kwa-the-agness-sfw/ […]

  3. eli lilly mounjaro weight loss​

    … [Trackback]

    […] Find More Information here on that Topic: afroswagga.com/habari/kutana-na-the-year-2017-collection-kutoka-kwa-the-agness-sfw/ […]

  4. earn passive income

    … [Trackback]

    […] There you can find 42186 more Info to that Topic: afroswagga.com/habari/kutana-na-the-year-2017-collection-kutoka-kwa-the-agness-sfw/ […]

  5. togelonline77

    … [Trackback]

    […] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/habari/kutana-na-the-year-2017-collection-kutoka-kwa-the-agness-sfw/ […]

Comments are closed.