Mange Kimambi na Linda Bezuidenhout ni wabunifu kutoka Tanzania ambao wote kwa sasa wana ishi na kufanya kazi zao Nje ya Nchi. Ilikua mategemeo yetu kwa wawili hawa kuiletea sifa Nchi yetu si kwa mafanikio ya mmoja mmoja bali ya wote wawili, tukimaanisha wafanye kazi kwa kushirikiana ili kupata matokeo mazuri Zaidi, waswahili husema “umoja ni nguvu na utengano ni idhaifu” na hivyo ni namna ya Watanzania wengi waishio nje na ndani ya Nchi tunavyo ishi.
Lakini tofauti na mategemeo ya wengi wawili hawa wamekua wakitukanana mitandaoni na kuleta picha mbaya, hii ina fanya kuleta utengeno kati ya mashabiki ambao pia ni wanunuzi wa bidhaa zao iwe ndani au nje ya Nchi, ni kweli hawa wawili wote wana vipaji vya kubuni kama ukiangalia kazi ya Linda au Mange lazima utavutiwa nayo lakini wawili ni wawili ina wezekana wakishirikiana wana weza kutoa kitu kizuri na kilicho bora Zaidi.
Wawili hawa wana takiwa kufuta tofauti zao ili kuweza kuitangaza Nchi yetu vizuri kwa mavazi yetu na kutangaza ubunifu wetu katika Nchi wanazo ishi, haipendezi kuona wa-Tanzania waliopo nje ya Nchi wana shindwa hata kuombana chumvi. Tunaamini Mange na Linda wote wana pigania kilicho bora kwa ajili ya Tanzania na kama wakishikana basi watakua na nguvu tosha ya kuweza kufanikisha malengo yao.
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 49175 additional Info to that Topic: afroswagga.com/habari/kutoka-kwetu-kwenda-kwa-linda-bezuidenhout-na-mange-kimambi/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/habari/kutoka-kwetu-kwenda-kwa-linda-bezuidenhout-na-mange-kimambi/ […]