Miss Tanzania 2015 Lilian Kamazima ameanza maandalizi yake ya kujiandaa kuelekea Sanya nchini China kwa ajili ya shindano la Miss World.Lilian akiwa ni miongoni mwa wasichana 120 ataiwakilisha Tanzania katika shindano hilo, Lilian ameonekana akiwa na watu mbali mbali ambao wana husiana na mitindo akiwemo kiki fashion pia miss Tanzania mwaka jana Hapiness Watimanywa akipewa ushauri au njia za kumfanikisha kushinda katika shindano hilo.
Lilian akipewa mawili matatu na alie kuwa Miss Tanzania 2014 Hapiness
Ratiba yenyewe iko hivi, mrembo wetu Lilian pamoja na warembo wengine wote watapokelewa China November 21 2015 kwenye moja ya Hoteli kubwa iliyopo Sanya na kambi yao itakuwa hapo kwa muda wote mpaka siku ya fainali December 19 2015.
Lilian akiwa na Kiki
Kingine tunachotakiwa kukifanya ni kumpa support ya nguvu mrembo wetu Lilian Kamazima kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii ambapo hiyo njia pia itamfanya asogee kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuibuka na ushindi wa Miss World 2015.
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/habari/lilian-kamazima-na-maandalizi-kuelekea-miss-world-2015/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 95897 additional Information to that Topic: afroswagga.com/habari/lilian-kamazima-na-maandalizi-kuelekea-miss-world-2015/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/lilian-kamazima-na-maandalizi-kuelekea-miss-world-2015/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/habari/lilian-kamazima-na-maandalizi-kuelekea-miss-world-2015/ […]