Lorraine Marriot (20) Miss Universe Tanzania ambae kwa sasa yupo Las Vegas kutuwakilisha katika Miss Universe 2015 duniani kote. Lorraine anaonekana kufanya vizuri kiasi cha kusifiwa na waandaji wa shindano hilo.
Katika Account ya #MissUniverseCovarage huko Instagram waandaji hao waliandika > TANZANIA! This beauty has not stopped from impressing me since her arrival. I did not really pay attention to her before to be honnest but now I can’t help but thinking she might surprise us all in the final night! Go for it beauty!<
Kila kitu kinawezekana endapo tu tutamsupport mshiriki wetu, ukiachana na hayo waandaji wa Miss Universe Tanzania wame jitaidi kumuandaa mshiriki wetu katika kila kitu hasa mavazi.
Ili kumsuport Lorraine na kumsaidia kushinda tembelea Account za miss universe na like na ku comment katika picha zake zilizo postiwa Asante.
Mionekano Mbali mbali ya lorraine akiwa Las Vegas kwenye mashindano hayo:
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…