SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

LUPITA NYON’GO KULIPAMBA JARIDA LA VOGUE
Habari

LUPITA NYON’GO KULIPAMBA JARIDA LA VOGUE 

Ni mara ya pili kwa mwanadada kutoka Kenya Bi.  Lupita Nyong’o kulipamba gahazeti la Vogue ambalo litatoka mwezi wa kumi. Lupita ni mcheza filamu/ muigizaji kutoka Kenya. Alianza safari yake katika Tamthilia iitwayo Shuga kutoka Kenya mwaka 2009-2012 lakini mwaka 2013 ndipo nyota yake ilipo anza kung’aa zaidi alipo fanya filamu ya 12 Years Of Slave hii Filamu ilimpa Tuzo kubwa zaidi duniani Tuzo za Oscar. Leo hii amekua mwana filamu mkubwa duniani anaeiwakilisha Kenya,Africa Mashariki na Africa kwa ujumla.  Baadhi ya picha za Lupita katika Gahazeti hilo.

[URIS id=1607]

Related posts

1 Comment

  1. Where to find DMT in Brisbane

    … [Trackback]

    […] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/habari/lupita-nyongo-kulipamba-jarida-la-vogue/ […]

Leave a Reply