Mgombelwa ni mbunifu wa kiume kutoka morogoro, lakini pia ana fanya kazi zake Dar Es Salaam, tumepata nafasi ya kufanya mahojiano nae na alikua na haya machache ya kusema,
Afroswagga: Kwanini ubunifu wa nguo?
Mgombelwa: Ubunifu upo kwasababu tofauti’. watu wengi wanapenda kua na muonekano tofauti katika mavazi na pia kitu kinachomfanya mtu awe na mwonekano wakuvutia
Afroswagga: Kitu gani kinakuvutia zaidi katika ubunifu wa nguo?
Mgombelwa: mitindo tofauti inayofanywa na pia muonekano mzuri na tofauti pindi watu wanapokua wamevaa
Afroswagga: Je ubunifu wako ni wanaume tu au na wanawake pia?
Mgombelwa: mimi nimejikita zaidi kwenye nguo za kiume ila wanawake sio sana
Afroswagga: Nani alifanya upende kuwa mbunifu?
Mgombelwa: Hakuna ila mimi mwenyewe nilikua napenda kufanya vitu ambavyo nivyakipekee hivyo nikajikuta najitahidi kua mbunifu.
Afroswagga: Kama sio kuwa m’bunifu je ungekua nani?
Mgombelwa: Mchoraji
Afroswagga: Je upo tofauti na wabunifu wengine? Tofauti yako na yao ni IPI?
Mgombelwa Ndio.
Katika mitindo tofauti nnayo ifanya na ubunifu wa kipekee
Afroswagga: Unajiona wapi ndani ya miaka kadhaa ijayo?
Mgombelwa: Ntakua katika nafasi nzuri zaidi hata ile alioko sheria ngoi.
Afroswagga: Unawaambia nini wabunifu wenzio na watanzania kwa ujumla?
Mgombelwa: Tuwe na ushirikiano kwa wabunifu wote tuache ubinafsi bila kujali nafasi ya kila mbunifu alioko..kwakua wabunifu wengi wakubwa wamekosa ushirikiano na sisi ambao tuko chini’pia kutudidimiza kwa ajili ya masilahi binafsi.Nawatanzania tupende kazi za nyumbani na kusapoti kazi za ndani ya nchi yetu.TUWE WAZALENDO..
(ASANTENI)
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 69774 additional Information on that Topic: afroswagga.com/habari/mahojiano-na-mgombelwa-brand/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/habari/mahojiano-na-mgombelwa-brand/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/habari/mahojiano-na-mgombelwa-brand/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/habari/mahojiano-na-mgombelwa-brand/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/habari/mahojiano-na-mgombelwa-brand/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/habari/mahojiano-na-mgombelwa-brand/ […]