fashion Police ni kipindi ambacho kina muhamko mkubwa wa mitindo na kinacho pendwa zaidi duniani, Watangazaji wa hiki kipindi hawaachi kukukosoa ukikosea na kukusifia ukipatia. Bibi Joan River (marehemu) hakua akimuacha mtu akikosea hata kama una jina kubwa katika tasnia fulani.Pia kuna watangazaji wengine kama Giuliana Rancic, Kelly Osbourne na George Kotsiopoulos
Mara baada ya Joan River kufariki aliwekwa Kathy Griffin kama mbadala wa Joan River, lakini kwa bahati mbaya na mitafaruku ya hapa na pale mbadala wa Joan Rivers yaani Kathy Griffin nae aliacha kazi.
Imepita miezi sita sasa tangu bi dada Kelly Osbourne nae kuachia ngazi lakini ametoa tamko ana weza akarudi kama tu yatatokea mabadiliko yaani kama Giuliana Rancic hatokuwepo kwenye kipindi.
Kelly Osbourne
Kipindi kimekua kikipoteza mvuto baada ya Kelly Osbourne kuondoka na sababu ya eye kuondoka ni baada ya Guliana kumuongelea vibaya Disney Channel star Zendaya kuhusu mtindo wake wa rasta katika tuzo za Academy.
E! wameamua kukipa kipindi mapumziko mpaka mwezi wa tisa, ambapo motto wa Joan River, Meliss River atachukua nafasi ya mama yake huku akiwa na Guliana pamoja na Brad Goreski.
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/habari/mambo-si-mazuri-fashion-police-e-online/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 18724 additional Info on that Topic: afroswagga.com/habari/mambo-si-mazuri-fashion-police-e-online/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/habari/mambo-si-mazuri-fashion-police-e-online/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/habari/mambo-si-mazuri-fashion-police-e-online/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/habari/mambo-si-mazuri-fashion-police-e-online/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/habari/mambo-si-mazuri-fashion-police-e-online/ […]