Mwaka 2014 mashindano haya yalifungiwa kwa miaka miwili kutokana na ubabaifu wa waandalizi lakini yakaja kuruhusiwa mwaka 2015 baada ya kusema kuna mabadiliko na tukampata Miss Tanzania 2016 Diana Lukumay imeonekana serikali bado haijaridhishwa na mashindano haya na kuamua kuyafuta kabisa leo Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Harrison Mwakyembe amesema amepiga marufuku mashindano ya miss Tanzania na Tuzo za muziki
Amesema mashindano ya Miss Tanzania yamegubikwa na ubabaishaji kwenye utoaji wa tuzo na wamekuwa wakiwasotesha watoto wetu kwa mwaka mzima wakijiandaa na tuzo hizo lakini mwisho kuwapa zawadi inakuwa ni usumbufu
Ameongezea kwa watakaotaka kuandaa mashindano hayo zawadi wanazoahidi kuwapa washindi ziwekwe ofisini kwake
Kwa sasa wanakaa chini na wadau wa burudani juu ya mashindano hayo ila wanataka ziwe na (guaranteed sustainability) muendelezo wa uhakika na sio kufanyika kwa kubahatisha
Kwenye tuzo za muziki waziri amesema tuzo za muziki zilikuwa zikitegemea watu wakinuna basi hakuna tuzo hizo na pia zinahitaji marekebisho
source @jamiiforums
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/habari/mashindano-ya-miss-tanzania-yafutwa/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/habari/mashindano-ya-miss-tanzania-yafutwa/ […]