Ikiwa ni siku 21 tu toka Diana Lukumai atwae taji la Miss Tanzania yamesha tokea mambo mengi ambayo yame tusikitisha si kama wahariri wa mitindo bali pia kama Wa Tanzania.
Mambo mengi yame onekana ambayo si ya kufuraisha ikiwepo Miss Tanzania kulalamikia uongozi wake kwa kuto muandaa vyema na pia makosa katika picha zake zilizopo katika website ya Miss World,
Make up- make up ya miss Tanzania katika picha zake hizo si ya kuridhisha na si picha zilizopo bali hata zile anazo zipost katika mitandao ya kijamii, hii husababisha watu wafanye masikhara kuhusu muonekano wake ina weza kumpelekea Siana kupata stress cha nini afanye ili Hasitaniwe, Kwetu tunadhani mtu anae mremba Diana ajue kwamba si tu ana mremba Diana bali ana remba nembo ya Tanzania ambayo itatubeba katika Kichang’anyiro cha Miss world miezi michache ijayo. Kumremba Diana vizuri akaonekana kapendeza pia ita mpa exposure mrembaji kama kila mtu ata msifia Diana basi na yeye jina lake litakua.
Styling – Style ya Diana bado haiko sawa ni kama ana jivalisha na kujistyle mwenyewe ni kama hana watu wa kumshauri nyuma yake, Diana we are with you in this kama una tatizo ongea waambie watu huna hiki huna kile tuna dhani ukisema watu wata kuwa willing kukusaidia dont go through this alone, kama huna namba zao ma stylist kama swalha, lavidoz, rio, noel au wabunifu kama Martin, Ally Rehmtullah au Mustafa na wengineo sasa hivi kuna mitandao ya kijamii ingia direct messageĀ ongea nao nadhani hakuna ambae hato taka kumstyle Miss Tanzania ambae anaenda Miss World sio tu watapigania kuku style kwa ajili ya Nchi bali pia wata taka kutangaza majina yao. Tumeona jinsi watu walivyo pigania kuwa style wasanii fiesta na hii ikaongelewa sana katika mitandao ya kijamii kama utawa ruhusu hawa watu we are 100% wana weza kufanya wonders.
communication – kuwa karibu na watu ongea nao, yah tunajua umesha kuwa mkubwa una weza kuambiwa usijibu watu na hivi na vile lakini mara moja moja jaribu kuongea nao kwa sasa Tanzania ina nguvu kubwa sana watu wana piga sana kura zinapo kuja katika Tuzo zinazo takiwa kurudi Tanzania, ume post picha ume andika tu watu wa click link kwenye bio bila kutoa maelezo yoyote kama kuna kupiga kura au lah watu wakaaza kuuliza na hukujibu hata moja its ok kuto kumjibu mmoja mmoja unge post, post nyingine yenye maelezo kamilifu.
Kuwa wewe – be you ukiona ume pambwa huja penda ongea, kuna vitu vingi vina endelea duniani katika maswala ya urembo kuna kitu kama natural hair movement, sasa hivi tunaona watu mbali mbali wakiwa wana tangaza culture ya Africa kwa namna mbali mbali kwa kuvaa vitenge, African beads (shanga) kunpigania rangi nyeusi, una hivi vyote kuhusu mu-Africa una rangi, uzuri urefu na pia una natural hair ukiona kwamba huu urembo wao haukupendezi tumia uhalisia wako una weza kukupeleka mbali zaidi kuliko wanavyo kuremba ovyo.
Waandaaji wa Miss tanzania ina bidi mjue kwa sasa Dunia ime kuwa kijiji si kama zamani watu wana subiri kupewa taarifa kupitia magazeti, sasa hivi watu wana fuatilia kila kitu mitandaoni tafadhalini muwe serious katika maswala yanayo gusa kila m-Tanzania, tuzibeni midomo tusiwe na cha kuongea na mjiepushe na hizi lawama za kila mwaka, jaribuni kuona Dunia ina endaje kwa sasa, Watanzania wame choka kushika mikia kila mwaka turekebishe pale tulipo kosea sasa, Diana aandaliwe na kupewa support ya kutosha kutoka kwenu na kila m-Tanzania. Leo Tunaishia Hapa Alaam Seeky
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…