Mrembo wa kimataifa toka hapa nchini Tanzania anayefanya shughuli zake barani Ulaya Miriam
Odemba, Ambaye ni miongoni mwa warembo bora wanaofanya vizuri zaidi tulipata kubalikiwa katika
nchi yetu ya Tanzania.
Odemba hakusita kuweka wazi moja ya ndoto yake ambapo alisema “Ndoto yangu ni kusaidia jamii, hii
nimekuwa nikifikiria mara kwa mara.Nataka kufungua shule ambayo itasaidia walio wengi unajua bado
kuna changamoto katika elimu, Wapo wananilaumu kupitia mitandao ya kijamii na wengine kutaka
msaada lakini pia wanataka kuwa mimi, lakini haiwezekani kuwa mimi.”
Odemba pia hakuacha kuwashauri warembo wengine ambapo alisema “Hata ukiwa na meneja kama
kitu hujakipenda huwezi kufanikiwa”
Source Mkasi Tv
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/habari/miriam-odemba-aeleza-ndoto-yake/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 22772 more Information to that Topic: afroswagga.com/habari/miriam-odemba-aeleza-ndoto-yake/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/habari/miriam-odemba-aeleza-ndoto-yake/ […]