Miss Tanzania 2016/2017 Diana Flave amekabidhiwa zawadi yake ya gari leo baada ya kuisubiri kwa muda mrefu, sisi tunaiita throw back zawadi maana ingekuwa zawadi kama walichukua muda mrefu kumpatia kikaja kitu cha kueleweka.
Bahati inaonekana haiko sambamba na Miss huyu au labda kamati ya Miss Tanzania imekuwa tia maji tia maji maana hili gari linaonekana la zamani na hizi sticker za ma sponsor zimekuwa too much kama gari la matangazo, Diana atatembea vipi na hili gari this is too much kamati ya Miss Tanzania hiki ni nini? hili shindano linaelekea kufa? kama Diana alihaidiwa IST kaja kupata hii gari huyo wa mwakani si mtahaidi suzuki mkaja kumpa bajaji au boda boda?
waswahili wana sema bora hamsini nzima kuliko mia mbovu this is a shame.
haya ni maoni ya Zamaradi Mketema She said it all
Jamani hili Gari kabla ya kuanza kuona MISS TANZANIA 2016 unaanza kuona ZoaZoa na hizo product nyingine Nahisi hii Branding imekuwa too much jamani sidhani kama ni sawa kwake, kumbuka kagari kenyewe ni kadogo mno halafu kanajazwa matangazo kila sehemu mastika hadi kwenye vioo, mwisho atashindwa kuona mbele sasa, not Fair Kwa waandaji, kwa mwaka huu unaofata tunategemea zawadi zenye HESHIMA kulingana na HADHI YA SHINDANO, hata hizi kejeli zinazoendelea juu ya mrembo wetu mara nyingine zimesababishwa na uendeshaji mzima wa Tukio matokeo yake inaonekana kama ni kitu cha kuchekesha badala ya kubeba hadhi iliyokusudiwa Nafasi bado ipo, tusilishushe hadhi katika kiwango hiki, Naamini hata ZAWADI inajenga hadhi ya shindano, kutoka kwenye MAGARI YA GHARAMA/NYUMBA tena kwa miaka ya nyuma mpaka kwenye hiko kiswift jamani kama hajabeba taji la taifa Tena zawadi yenyewe anaipata jasho limeshamtoka, kiukweli sidhani kama ni sawa Nisameheni kama nitakuwa nimekosea ila nimeshindwa kukaa kimya aisee.
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 68980 additional Information on that Topic: afroswagga.com/habari/miss-tanzania-akabidhiwa-zawadi-yake/ […]