SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

MISS TANZANIA AKARIBISHWA NA MADONGO
Habari

MISS TANZANIA AKARIBISHWA NA MADONGO 

kama ni mfuatiliaji wa mambo ya urembo basi utakuwa una kumbuka hili, Miss Tanzania ilipata sekeseke la kufungiwa kwa takribani mwaka mmoja kutokana na kutokea mtafaruku katika shindano hilo, mpaka pale shindano lilipo funguliwa tena katikati ya mwaka huu ambapo walitakiwa kufanya mabadiliko katika management na mambo mengine madog madogo, kweli ilifanyika na shindano likaanza ma miss wakaanza kutafutwa kuanzia vitongojini mpaka juzi jumamosi ambapo tulipata kumpata muwakilishi wetu mpya katika Miss World.

Lakini ina onekana bado kuna tafrani as watu hawaja mpokea vizuri miss huyu mpya kuna mambo mbali mbali yanaendelea huko mitandaoni ikiwemo na kusema kwamba miss kadanganya miaka na matokeo yake ya kidato cha nne

misstz

Japo mwenyewe ame jibu tuhuma hizi kwa kuanduka yafuatayo katika ukurasa wake wa Instagram.

unnamed

TAARIFA KWA UMMA Napenda kuujulisha Umma yafuatayo; 1. Miss Tanzania 2016/2017 aliyeshinda taji jana jijini Mwanza, anaitwa Diana Edward Loy na siyo Diana Lukumai kama inavyotajwa mitandaoni. 2. Mlimbwende huyo amemaliza kidato cha nne 2015 Shule ya Sekondari Arusha Day na si 2011 kama inavyotajwa mitandaoni kwa malengo ovu. 3. Diana hajawahi kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu chochote Tanzania au duniani bali anatarajia kujiunga mwaka huu katika chuo cha IFM kusomea masula ya kodi ngazi ya stashahada (cheti) ingawa kulingana na ratiba zake na majukumu yake mapya ikiwemo kushiriki Miss world mapya huenda akaahirisha mwaka wake wa masomo. 4. Tunawasihi watanzania kutumia vyema mitandao ya kijamii na si kufanya “Character assassination” lakini pia tunaheshimu haki yao ya msingi ya kuhoji masuala ya msingi kabisa kuhusu mtu ambaye ni Public figure na ataliwakilisha taifa katika anga za kimataifa. Tumuunge mkono mlimbwende wetu ili atuletee Taji la Dunia. Ahsanteni. Charles William Kaimu Ofisa Habari wake. 0716719589 (wilflow101@gmail.com). CnP @RepostIt_app

Diana Binti wa kimasai mwenye miaka 18 ame twaa taji la urembo wa Miss Tanzania 2016 akifuatiwa na Grace Malikita na Maria Peter

tz

Baadhi ya wadau wa urembo wana sema bado sekta ya Miss Tanzania haija jiandaa vizuri katika uandaaji wa shindano hili kwamba sherehe haikuwa nzuri ni kama ana tafutwa miss kitongoji

unnamed

Swali ni moja je we will stand a chance kushinda miss world? ikumbukwe tuna peleka mshiriki ambae ataenda ku compete na warembo mbali mbali duniani, nadhani we still have a long way to go kama tuna taka kushinda Diana ana takiwa anze kujiandaa kuanzia sasa unless kama tuna kubaliana na matokeo ya kwenda kushiriki na kurudi bila taji kila mwaka.

Related posts