Maandalizi ya Miss World yamesha anza washiriki wote wamesha wekwa katika website ya Miss World, katika washiriki wote yupo pia bi Diana Lukumai ambae ni miss Tanzania 2016/2017 unaweza kubofya hapa kuona profile yake,
Jamani nini kimetokea? seriously what happened? Miss wetu yupo kawaida mno hajapewa effort yoyote while styling her, we wish hata ange piga hizi picture na nguo zake za kimasai tujue moja, mara ya kwanza naiona hii picture na make up yake nika dhani aah labda ana jaribu kutoa pictures ambazo anaonekana vizuri kidogo si kama zile za mwanzo watu walizo kuwa wakizisambaza lakini kumbe ndio her official pictures katika miss world
haya ni maoni yetu, hatujui kuhusu nyie ila hizi picture Diana hakuwa styled kabisa si kama za Lilian Kamazima mwaka jana, Diana yupo kawaida sana hio black dress una weza kuipata kariakoo ina maanisha hakuna mbunifu aliye buni hapo pia make up yake, yule mshindi namba 3 Grace Malikita ni make up artist mzuri nadhani ange mpa msaada Diana ange pendeza mno.
Ukiangalia pictures za washiriki wengine kutoka Nchi mbali mbali za Africa na Ulaya utagundua hata kama wame kuwa styled simple ila wana eleweka una weza kuwaangalia mara mbili nadhani hii pia ime tokana na waandaji wa Miss Tanzania Kuto muandaa Diana Kama ambavyo mwenyewe ali lalamika
Miss World Ghana kavaa kitenge tu lakini kapendeza na make up yake
Miss Kenya
Miss World Nigeria ni Fierce angalia make up na jinsi ambavyo ana pose
Miss World Uganda simple mno lakini at least kuliko Tanzania,
Tuambie yapi maoni yako kupitia
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Instagram – afroswagga
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…