Hatudhani kama mtakuwa mme sahau ila si mbaya tukiwakumbusha, mwaka jana mwishoni Diana Miss Tanzania 2016/2017 alienda kushindania Miss World lakini katika miss world kuna vipengele tofauti tofauti kikiwepo cha beauty with purpose ambapo miss ana present idea yake ya ataifanyia nini jamii na itakayo shinda ina fanyiwa implementation na kamati ya Miss World.
Miss Tanania Diana Flae alienda na masai dondosha wembe ya kuzuia ukeketaji na ikaingia adi 24 bora baadae ikaja kutolewa kwa maelezo ya Diana Miss Kenya ali claim na yeye alifanya kitu hiko hiko, well Kenya ikashinda bwana. Diana akalalamika wee lakini ikawa sio kesi but GUESS WHAT? Kenya sio tu wali sema wame fanya idea hiyo hiyo bali pia wame chukua some of scene zilizopo kwenye documentary ya Diana, like seriously? Kenya why now? ime shindikana kabisa nyie kuwa creative mpaka mkachukue kitu vile vile kilivyo?
Diana Rukumay alichukua muda na kuandika yafuatayo katika ukurasa wake wa Instgram “Ama hakika mwisho wa Ubaya huwa ni aibu inakuwaje nakuta footage zangu kwenye Documentary yangu nazikuta zimewekwa kwenye hiyo Documentary bofya link kwenye Bio yangu angalia mwanzo mpaka mwisho,na kisha ingia youtube tafuta documentary yangu kwa jina la Diana Edward angalia mwanzo mpaka mwisho Kisha linganisha. Mara ya kwanza yakwangu ilikuwa published tarehe 18 October 2016 na ikarudiwa tarehe 24 November 2016 na hiyo nyingine yenye materials zangu imekuwa published tarehe 31 January 2017.
Ni matumaini yetu kuna maelezo yaliyo kamilika juu ya hili.
Tuambie maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/habari/miss-tanzania-v-miss-kenya-beauty-with-purpose-saga/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/habari/miss-tanzania-v-miss-kenya-beauty-with-purpose-saga/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/habari/miss-tanzania-v-miss-kenya-beauty-with-purpose-saga/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/habari/miss-tanzania-v-miss-kenya-beauty-with-purpose-saga/ […]