Ime kuwa muda kidogo watu wakiwa wana lisifia shindano la Miss Universe kwamba wana jipanga vyema na wanatoa warembo wenye kujielewa. Tumeona watu kama Miriam Odemba, Flaviana Matata na wengine wengi wakiwa wame tokea katika shindano hilo waka fanya vizuri na pia kuendelea kufanya vizuri katika industry ya urembo. Tofauti na Miss Tanzania ambao wengi wao wanaishia kupata umaarufu na kupotea japo si wote tumeona watu kama Nancy Sumari, Hapiness Magesse na wengineo pia wakifanya vizuri lakini hivi karibuni tulikaa na kujiuliza,
Kwanini Miss Universe iwe ina sifika na kutoa warembo sio kama Miss Tanzania? Kunani Miss Universe?
tukaja kugundua kwamba ukiachana na kuwa wana waandaa washiriki wao lakini pia miss Universe huchukua wale wanamitindo chipukizi na kuwa shindanisha ndipo wana pata mmoja ambae atakwenda kuiwakilisha Nchi katika mashindano ya Miss Universe ya kimataifa. Kivipi? Mshindi wa mwaka jana Miss Lorraine Marriot kabla ya kuwa Miss Universe pia alikuwa model lakini pia mshindi wa mwaka huu vivyo hivyo, pia kama tuna kumbu kumbu nzuri pia Nelly Kamwelu alikuwa amesha panda kwenye majukwaa mengi kama mwanamitindo kabla ya kuwa miss Universe wengine wana sema Miss Universe haiko Fair sababu kuna wasichana wengi ambao si wanamitindo na wana weza kutushirikisha vizuri, lakini wengine husema wana fanya vizuri maana wengi wao wanakuwa wana jielewa na kuendelea vizuri.
Miss Tanzania wao huwa wana tafuta wasichana kuanzia chini vitongojini uwe ulikuwa mwanamitindo au lah wana kuchukua hii ina wapa fura wale wasichana wasio julikana kupata kutimiza ndoto zao japo wengi huishia kuwa maarufu tu. Lakini LIPI JEMA? KUTOA FURSA KWA WASIO JULIKANA AU KUWAPA WANAO JIWEZA NA KUENDELEZA HILI GURUDUMU VIZURI? Je Miss Tanzania waanze kufuata nyayo za Miss Universe labda sasa tutapata watu wanao jielewa?
tuambie kupitia
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Instagram – afroswagga
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…