Lorraine Mariott Miss Universe Tanzania 2015 ambae yupo Las Vegas kushiriki katika mashindano ya Miss Universe Wolrd wakati Lilian Kamazima Ni Miss Tanzania 2015 ambae yupo china kushiriki katika Miss World 2015. Mashindano yote ni makubwa si madogo lakini kwa Tanzania, Miss Tanzania ni shindano kubwa zaidi na linalo pewa kipaumbele cha kushangaza na kustaabisha Miss universe wameonekana kujianda vizuri zaidi kuliko Miss Tanzania, tukianzia na mavazi Lorraine ana vaa vizuri zaidi kuliko Lily hatusemi Lily hapendezi La hasha lakini sio kama Lorraine, Make Up, Nywele ni vitu tofauti kabisa kwa wawili hawa. Support katika mitandaoni Miss universe wamefungua account zao nyingi ambazo zina msupport Lorraine ni tofauti na Miss Tanzania kabisa ni kama kila kitu ana fanya mwenyewe Lilian. Tofauti na Expectations zetu mwaka huu tulitegemea kutakua na tofauti katika mashindano ya Miss Tanzania kwenda huko Miss World lakini yamejirudia yale yale ya siku zote. Tulitegemea mambo yatabadilika hasa kutokana na kubadilishwa kwa viongozi katika kamati ya Miss Tanzania lakini hamna kitu. Miss universe wametafuta hadi accessories kutoka kwa wabunifu wadogo tofauti upande wa miss Tanzania Lily yupo plain kabisa, kamati ya Miss Tanzania kaeni na Maria mjifunze kutoka kwake ana fanya kazi nzuri kwa kweli, Kamati ya Miss Tanzania you reall need to step up your game.
Lorraine
Lilian
Lilian Casual look
Lorraine casual Look
Lorraine Photo Shoot
Lilian Photoshoot
Lorraine
Lilian
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/habari/miss-tanzania-vs-miss-universe-tanzania/ […]